Hellow Hii every one

Kama nilivo tambulishwa na coordinator naitwa Greyson Kahise (MTAALAMU WA KUKU )

Mimi baada ya kusomea wanyama na kufanya field zangu zote kwenye makampuni makubwa kama Silverland( Iringa na Mangara Dairy( Tanga)  niliona nisitoke nje ya taaluma niliyo nayo ila nielekeze mtazamo upande mmoja wa KUKU pekee.

Kama mtaalamu kwa nini niliamua kuchagua kuku na si mifugo mingine?

Moja haihitaji mtaji mkubwa sana

Mbili uhitaji/demand ni kubwa sehemu zote( haifungamani na Dini).

Tatu haihitaji eneo kubwa na malisho ukilinganisha na aina nyingine.

Ninaweza kuuza kuku wenyewe, mayai pia nikapata mbolea

Ni mradi ambao uwekezaji wake hauchukui muda mrefu kuanza kujiendesha na kuleta faida( Financial projection and returns) .

 Maandalizi ya kuwekeza kwenye ufugaji

Chunguza uhitaji wa eneo lako je ni nyama au mayai na ni aina gani( Feasibility study
)
Pata eneo hasa banda utakapo fugia kuku wako

Uwe na vision unataka kuanza na kuku wangapi kwenye uwekezaji.

Pata business plan/ Andiko la biashara.

Uwe na mtaji kuwezesha kutimiza lengo lako kutokana na uwezo.

 Anza mradi na simamia ipasavyo.


By
KAHISE MTAALAMU WA KUKU
 0769799728/0715894582